Saturday 30 September 2017

Tabia za kuku mgonjwa




 Kuku asie na afya huonesha hizi dalili.
l   kuku huchoka na kupoteza furaha
l   macho yaliofifi na upanga legevu
l   Hulala na kusinzia wakati wote
l   Hula na kunywa kidogo
l   Hupunguza kutaga mayai
l   Hushusha manyoya na manyoya hutimka
l   Kinyesi chenye maji maji  na mara nyingine damu au minyoo
l   Kuku hukohoa na kupumua kwa tabu sana

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Pages

//]]>