MAMBO MUHIMU KWA  YAI KUWEZA KUTOTOLESHWA
·        
Yai lisizidi siku 7 mpaka 8 tangu litagwe
·        
Zingatia Uwiano mzuri wa majogoo kwa matetea
(1:8-10)
·        
Mayai ya mtago wa kwanza sio mazuri kwa
kutotolesha
·        
Mayai ya kuku mzee sio mazuri kwa kutotolesha
·        
Kuku watagaji wanapaswa kupewa chakula bora na
cha kutosha
·        
Mayai yahifadhiwe sehemu isio na joto kali 
·        
Mayai machafu hayafai kwa kutotolesha
·        
Mayai madogo sana hayafai kwa kutotolesha
·        
Mayai yenye kreki(nyufa)hayafai kwa kutotolesha
·        
Mayai yenye umbo kubwa sana hayafai kwa
kutotolesha
·        
Mayai yenye viini viwili hayafai kwa kutotolesha
·        
Yai lisihifadhiwe kwenye friji(hifadhi sehemu
yenye hewa ya kutosha na isio na joto)
KWA MAWASILIANO TUPIGIE KWA NUMBER
ZIFUATAZO
0719342444/0788337971
0718616834










0 comments:
Post a Comment