Kuku asie na afya huonesha
hizi dalili.
l   kuku huchoka na kupoteza furaha
l   macho yaliofifi na upanga legevu
l   Hulala na kusinzia wakati wote
l   Hula na kunywa kidogo
l   Hupunguza kutaga mayai
l   Hushusha manyoya na manyoya hutimka
l   Kinyesi chenye maji maji 
na mara nyingine damu au minyoo
l   Kuku hukohoa na kupumua kwa
tabu sana






 09:15
09:15

 
 
 
 
 
 
 

0 comments:
Post a Comment