
Magonjwa ya kuku kwa ujumla yapo mengi sana na kuna baadhi
ya magonjwa ambayo hayapo hapa nchini,ni vyema kujua dalili hizi za magonjwa
mapema ili kuepusha hasara inayoweza kutokea kutokana na vifo ambavyo
huchangiwa na magonjwa haya.
Dalili hizo
kwa ujumla ni kama ifuatavyo
1.
Kuku
kupoteza hamu ya kula
2.
Kuku
kuzubaa...