Kuku asie na afya huonesha
hizi dalili.
l kuku huchoka na kupoteza furaha
l macho yaliofifi na upanga legevu
l Hulala na kusinzia wakati wote
l Hula na kunywa kidogo
l Hupunguza kutaga mayai
l Hushusha manyoya na manyoya hutimka
l Kinyesi chenye maji maji
na mara nyingine damu au minyoo
l Kuku hukohoa na kupumua kwa
tabu s...
Saturday, 30 September 2017
Wednesday, 27 September 2017
01:47
kukutajiri
No comments
Mapungufu ya Kuku wa Asili:
• Hutaga mayai madogo wastani wa gramu 47 ambapo kuku wa kisasa wastani wa gramu 55,aidha hutaga mayai machache wastani wa mayai 60 kwa mwaka ambapo kuku wa kisasa huweza kutaga hadi mayai 300 kwa mwaka.(CHOTARA NA KROILERS HUTAGA MAYAI 240-260 KWA MWAKA)
• Ukuaji taratibu – kuku wa asili hukua taratibu kutokana na lishe duni. Kutokana na hali hiyo kuku
• huchukua muda mrefu (miezi sita) kufikia uzito wa kuchinjwa (kilo...
Subscribe to:
Posts (Atom)